iqna

IQNA

ustadh minshawi
Qari Mashuhuri
IQNA - Wale wanaopenda usomaji wa Qur’ani Tukufu wa marehemu qari wa Misri Muhammad Sidiq Minshawi wanamtaja kama mfalme wa Maqam ya Nahawand.
Habari ID: 3478229    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/21

Wasomaji Maarufu wa Qur'ani Tukufu /4
TEHRAN (IQNA)- Qarii maarufu wa Qur’ani kutoka Misri,marhum Ustadh Sidiq Minshawi alikuwa na qiraa ambayo imedumu na inaendelea kuwavutia mamilioni hadi leo.
Habari ID: 3475818    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21